FAIDA ZA KUJIFUNDISHA QUR AN NA KUIFUNDISHA

๐Ÿ›‘ *HADITHI YA KUFUNGIA GROUP* ๐Ÿ›‘

๐Ÿƒ _ู‚ุงู„ ุฑุณูˆู„ ุงู„ู„ู‡ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… :_๐Ÿƒ
๐Ÿ‚ _Amesema Mtume wa Allah rehema na Amani ziwe juu yake:_ ๐Ÿ‚

๐Ÿชด  _((ุฎูŠุฑูƒู… ู…ู† ุชุนู„ู… ุงู„ู‚ุฑุขู† ูˆุนู„ู…ู‡))_๐ŸŽ
 ๐ŸŒฟ _((Mbora wenu nu yule anaejifundisha Qur,an na akaifundisha (kwa wengine))_๐ŸŒฟ

๐ŸŒท ```ุฑูˆุงู‡ ุงู„ุจุฎุงุฑูŠ``` 
```Ameisimulia Imamu Bukhary``` ๐ŸŒท


๐Ÿƒ _ู‚ุงู„ ุฑุณูˆู„ ุงู„ู„ู‡ ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆุณู„ู… :_ ๐Ÿƒ
๐Ÿ‚ _Amesema Mtume wa Allah rehema na Amani ziwe juu yake:_๐Ÿ‚

๐ŸŒน _((ู…ู† ุนู„ู… ุขูŠุฉ ู…ู† ูƒุชุงุจ ุงู„ู„ู‡ ุนุฒ ูˆุฌู„ ูƒุงู† ู„ู‡ ุซูˆุงุจู‡ุง ู…ุง ุชู„ูŠุช))_๐ŸŒน
_๐Ÿฅ€((Yoyote yule atakaeifundisha aya moja tu kwenye kitabu cha Allah mtukufu, atapata yeye thawabu zake kwa kila aya itakaposomwa))_๐Ÿฅ€

๐Ÿชท```ุฑูˆุงู‡ ุงู„ุจุฎุงุฑูŠ``` 
```Ameisimulia Imamu Bukhary```๐Ÿชท

*==================*
๐ŸŒบ *Faida*๐ŸŒบ
๐ŸŽ„- _Yoyote aliejifundisha qur,an  basi hupata daraja za juu mbele ya Allah mtukufu._๐ŸŒฒ
๐ŸŒพ- _Hawawi sawa wale waliojifunza qur,an na wasiojifunza , lakini hupata ubora zaidi iwapo aliejifundisha kama ataifundisha kwa wengine_๐ŸŒพ
๐ŸŒธ- _Thawabu za kuifundisha qur,an ni zenye kuendelea mpaka siku ya mwisho iwapo uliowafundisha watakua ni wenye kunufaika nayo_๐ŸŒธ
๐Ÿ- _Kitu pekee cha kutupatia utukufu duniani na akhera ni Qur,an_๐Ÿ
*===================*
๐Ÿชปูƒุชุจู‡ ุงู„ูู‚ูŠุฑ ุฅู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุงู„ุฑุงุฌูŠ ุนููˆ ุฑุจู‡.๐Ÿชป
 ``` ๐ŸŒปAmeindika  mwenye kumhitajia Allah mwenye kutaraji msamaha wake```๐ŸŒผ





Comments

Popular posts from this blog

SAFARI YA KUELEKEA NYUMBA YA AKHERA